USAFI WA MAZINGIRA, MAJI NA USAFI SHULENI (SWASH)
Ingawa usafi wa kaya, usafi wa mazingira na usafi shuleni unatambulika kimataifa kama haki muhimu za mtoto za kiafya, shule nyingi nchini Tanzania zinakabiliana na changamoto kubwa... More Details
Ingawa usafi wa kaya, usafi wa mazingira na usafi shuleni unatambulika kimataifa kama haki muhimu za mtoto za kiafya, shule nyingi nchini Tanzania zinakabiliana na changamoto kubwa... More Details
3
CCI inaunga mkono jamii katika kuhamasisha usafi kwenye ngazi ya jamii na kaya. Timu za ukusanyaji wa taka za kaya na uhamasishaji wa usafi hufundishwa na CCI kwa ajili ya kuhamasi... More Details
CCI inaunga mkono jamii katika ukusanyaji wa taka za kaya, urejelezaji na matumizi tena ya rasilimali kutoka kwenye taka zilizokusanywa. Hivi karibuni, ukusanyaji wa taka za kaya u... More Details
DEWATS ni mfumo wa matibabu ya maji taka unaotekelezwa pale pale (onsite) au kwa makundi (cluster) ambao hutumika kutibu na kuondoa kiasi kidogo cha maji taka ya kaya, yanayotokana... More Details
Changamoto ya kuchomeka vyoo vya shimo ni kubwa hasa katika makazi holela ambapo mitaa imejaa na upatikanaji ni mdogo sana. Vifaa vya usafi vinavyotumika zaidi katika maeneo haya n... More Details
Kama matokeo ya zoezi la kuhesabu kaya na utengaji ramani uliofanywa na CCI na jamii (Shirikisho), mfumo rahisi wa maji taka ulipendekezwa na jamii katika eneo la Vingunguti kama m... More Details
Ukosefu wa vyoo vya umma katika miji mikubwa nchini Tanzania unaweka afya ya mamilioni ya watu katika hatari, kwani wananchi wanapaswa kutafuta mahali pa kujisaidia kwenye mazingir... More Details
Katika makazi holela ya mijini nchini Tanzania, nyumba moja mara nyingi hukaliwa na kaya kadhaa, kwa kawaida kati ya tatu hadi kumi na moja. Hali hiyo husababisha vyoo vinavyojengw... More Details
29
Usafi wa mazingira bado ni changamoto kubwa nchini Tanzania. Kwa mujibu wa utafiti wa DHS 2010, ni asilimia 22% tu ya kaya za mijini ndizo zenye vyoo vilivyoboreshwa. Kaya nyingi k... More Details